mkopo
Sasa unaweza kuomba mkopo kutokea popote pale ulipo, nasi tutakuhudumia kwa haraka zaidi ndani ya masaa 24 tu!, baada ya kukamilisha taratibu zote. Unachotakiwa kufanya ni kujaza fomu yetu ya mkopo kwa njia ya mtandao.
BIMA
Je unatafuta huduma za bima? usihangaike , sisi tuko tayari kukupatia huduma zote za bima kupitia kampuni yetu tanzu ya ACCEPT Insurance. Huduma zetu ni za haraka na uhakika na kuaminika. Karibu tukuhudumie.
ushauri
Je umekwama kiuchumi, au unahitaji ushauri wa kibiashara na kifedha, kabla na baada ya kuchukua mkopo, karibu uzungumze nasi. Timu yetu ya wataalamu wa fedha wapo tayari kukushauri .
Viwango vya Mkopo!
Muda wa marejesho ni miezi 6
MAHITAJI MUHIMU
Picha ndogo 3
Gari na kadi yake
Kitambulisho
Barua kutoka serikali ya mtaa
Taarifa ya benki
Muda wa marejesho ni miezi 6
MAHITAJI MUHIMU
Taarifa ya mshahara
Kadi ya gari
Mdhamini 1 kutoka kazini
Barua kutoka kazini
Barua ya serikali ya mtaa
Muda wa marejesho ni miezi 6
MAHITAJI MUHIMU
Leseni ya Biashara
Cheti cha usajiri
Cheti cha mlipakodi
Barua ya serikali ya mtaa
Uthibitisho wa dhamana
Huduma Tunazotoa!
Maalumu kwaajili ya kukidhi mahitaji ya dharura ya wateja wetu. Mkopo unatolewa ndani ya masaa2 tuu
Maalumu kwaajili ya kulipia ada ya shule ya mwanafunzi, pale mzazi anapokwama kiuchumi. Unatolewa ndani ya masaa 24.
Kwa ajili ya wafanyakazi wa tasisi mbalimbali za umma na mashirika binafsi yaliyosajiliwa kisheria.
Maalumu kwaajili ya kulipia ushuru wa forodha kwa mteja wetu aliyeagiza gari kutoka nje ya nchi.
Kwaajili ya mteja wetu anayetaka kununua gari na hana fedha ya kutosha kulipia gharama za manunuzi.
Maalumu kwa mteja anayetaka kufanya biashara ya uchukuzi, kwa kutumia bajaji ili imuongezee kipato
Mafanikio Yetu!
Kutana na Timu Yetu!
TUKO TAYARI KUKUHUDUMIA
Isaac M Mmasi
Mkurugenzi mkuu & Mwanzilishi
Josephine I Mushi
Mkurugenzi Msaidizi
Deusdedit Ofunguo
Meneja wa Maendeleo ya Biashara
We're here for you!
Wasiliana nasi!
Endapo una maswali maoni au unahitaji ushauli, jza fomu hii iliyopo kulia kwako, na mtoa huduma wetu atawasiliana nawe kwa haraka. Pia usisite kuwasiliana nasi mojakwamoja kwenye matawi yetu yaliyopo
P.O Box 34130
HSE No.006/Block 41 Kinondoni , Morocco
Kibo Complex Tegeta
Ghorofa ya Kwanza
P: +255 754 808 330
Swahili Plaza Kariakoo
Ghorofa ya kwanza
P: +255 710 694 449